AIS DK.MWINYI AMEMUAPISHA MKURUGENZI MKUU WA ZAECA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpainduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA) kuhakikisha anaanza kazi mara moja kufanya uchunguzi wa ripoti ya CAG kwa wale wote waliobainika kuiba fedha za umma na kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Dk. Mwinyi